Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa  akizungumza kwa Niaba ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda wakati wa uzinduzi wa Mpango wa DarMaert na Vifaa vya Mawasiliano wakati wa Dharura na Maafa
 Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa, akikata utepe  kuashiria uzinduzi wa chumba cha Mawasiliano DarMaert na Vifaa vya Mawasiliano wakati wa Dharura na Maafa.
Sehemu ya Askari wa Jeshi la Zima Moto waliohudhuria uzinduzi wa mpango wa Dar Maert na Vifaa vya Mawasiliano wakati wa Dharura na Maafa.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...