Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.William Ole Nashaakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wawakilishi Shirika la Maendeleo ya Wakulima (MAYAWA).
Wasanii nyota wa Bongo Fleva wa Bukoba. Kushoto ni msanii Shemela akiwa na na Msanii Bk Sundaywakimwaga mistari |
Kikundi cha ngoma za utamaduni cha Kakaku band kikitumbuza kwenye sherehe hizo za uzinduzi wa kunywa maziwa kitaifa.
Picha zote na Abdullatif Yunus wa Globu ya Jamii, Bukoba
Habari kamili BOFYA HAPA
Picha zote na Abdullatif Yunus wa Globu ya Jamii, Bukoba
Habari kamili BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...