Ndugu Hussein Mapugilo mmoja wa wawakilishi wa GESAP DAIRY MILK, akitoa maelezo kwa Mh. Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mh. Ole Nasha, kuhusu shughuli zinazofanywa na Kiwanda hicho, wakiwa pia na malengo ya Uanzishwaji wa kiwanda cha Usindikaji Maziwa katika Wilaya ya Misenyi, hii ikiwa pia ni katika kuijenga Tanzania ya Viwanda.
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.William Ole Nasha akisaidiwa na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Kagera  akikata utepe kuashiria Kuanza kwa Wiki ya Unywaji maziwa Kitaifa. Maadhimisho haya yanafanyika katika viwanja vya Kyakairabwa, Manispaa ya Bukoba. 


Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.William Ole Nasha akizungumza na mfugaji wa ng'ombe wa kisasa kutokea wilayani Misenyi Bi Haulath Athumani Mfugaji 

Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.William Ole Nasha  akipata maelezo katika Banda la NARCO
 Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.William Ole Nashaakipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wawakilishi Shirika la Maendeleo ya Wakulima (MAYAWA). 

Wasanii nyota wa Bongo Fleva wa Bukoba. Kushoto ni msanii Shemela akiwa na na Msanii Bk Sundaywakimwaga mistari
Kikundi cha ngoma za utamaduni cha Kakaku band kikitumbuza kwenye sherehe hizo za uzinduzi wa kunywa maziwa kitaifa.
Picha zote na Abdullatif Yunus wa Globu ya Jamii, Bukoba
Habari kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...