Mmiliki
wa Mradi wa Hoteli ya Kitalii katika eneo la Matemwe Mkoa wa Kaskazini
Unguja, Mkurugenzi wa Mradi huo Brain Thomson, akitowa maelezo kwa
waandishi wa habari walipofika kutembelea mradi huo kujionea maendeleo
ya matayarisho yake na kuwaonesha michoro ya picha za majengo ya Mradi
huo mkubwa utakaokuwa na uwanja vya ndege. na kutengeneza visiwa kwa
ajili ya wageni wanaofika katika Visiwa vya Zanzibar.
Mmiliki
wa Mradi wa Mkubwa wa Hoteli ya Kitalii katika eneo la Matemwe Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mr. Brian Thomson, akitowa maelezo ya mradi huo kwa
kuwaonesha jinsi ya majengo yatakuwa katika eneo hilo na kutoa ajira kwa
Wananchi wa Matemwe na vijiji jirani kupitia mradi huo.
Mmiliki
wa Mradi Mkubwa wa Ujenzi wa Hoteli katika eneo la Matemwe Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mr. Brian Thomson akizungumza na waandishi wa habari
walipofika kuangalia ujenzi wa mradi huo na kusema kukamilika kwakev
kutachukua miaka minane kukamilika kwake na kutowa fursa za ajira kwa
vijana wa kijiji hicho na kutowa maendeleo katika sekta za jamii
kunufaika na mradi huo.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...